hata hivyo tume iyo imekua ikipiga chenga wandishi wa habari waokua wakitakakupata ufafanuzi wa swala hilo kwa jkuseama msemaji wa tume amepata dharura hajafika
pia mlezi wa wanafunzi chuoni hapo ndugu JOAKIM JOLIGA amesema amepokea barua ya malalamishi kutoka kwa wagombea waliokatwa aliongeza kusema tume ni lazima izingatie vigfezo vilivyo wekwa na katiaba ya wanafunzi chuon hapo \
jitihasda za kumpata msemaji wa tume zina endelea
No comments:
Post a Comment