Pages

Tuesday 6 September 2016

Tume ya uchaguzi chuo cha uandauishi wa habari  Dar es salaam kimetangaza jina la mgiombea urais chuon hapoa kua ni LUNYAMADIZO WILLIAM MNYUKA na makamu wake ni DORIS R NDELO huku tume hiyo ikisema kua imekata baadhi ya majina yaliyokua yamechukua fom ya kugombea nafasi hiyo 

hata hivyo tume iyo imekua ikipiga chenga wandishi wa habari waokua wakitakakupata ufafanuzi wa swala hilo kwa jkuseama msemaji wa tume amepata dharura hajafika 

pia mlezi wa wanafunzi chuoni hapo ndugu JOAKIM JOLIGA amesema amepokea barua ya malalamishi kutoka kwa wagombea waliokatwa aliongeza kusema tume ni lazima izingatie vigfezo vilivyo wekwa na  katiaba ya wanafunzi chuon hapo \

jitihasda za kumpata msemaji wa tume zina endelea 

No comments:

Post a Comment